MAONYO KUHUSU UZAZI
Ushuhuda wangu
Mwanzo 1: 26-28
Kisha Mungu akasema,
“Tumfanye mtu kwa mfano wetu, kwa sura yetu;
atawale samaki wa baharini, ndege wa angani,
wanyama wa kufugwa,
dunia yote na viumbe vyote vitambaavyo.”
Basi, Mungu akaumba mtu kwa mfano wake; naam,
kwa mfano wake Mungu alimuumba.
Aliwaumba mwanamume na mwanamke.
Mungu akawabariki na kuwaambia,
“Zaeni muongezeke, mkaijaze nchi na kuimiliki;
muwatawale samaki wa baharini, ndege wa angani,
na kila kiumbe hai kitembeacho duniani.”
( HBN)
SHUKRANI:
Kwa Baba wa mbinguni kwa kuniwezesha,
Nashukuru kwa wote wanaoniombea na kunisaidia,
Wabarikiwe wazazi na wachungaji wa watoto waliomo.
Muinjilisti M. A. NY. MITAMBA
mireillemitamba@yahoo.fr, +32 489 702 018
02/2018
INAENDELEA, ...
Category
Show more
Comments - 2
Related videos for Maonyo Kuhusu uzazi 1 Ushuhuda wangu: