Duration 4:44

Huyu ndiye aliyesimamisha hotuba ya Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta.

329 576 watched
0
2 K
Published 24 Mar 2021

Wengi walishtuka. Hawakujua kwa haraka kilichosababisha Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta, asite wakati akihutubiwa wananchi, wageni na viongozi wenzake jijini Dodoma, kwenye mazishi ya kitaifa ya hayati John Magufuli. Kumbe, alifanya hivyo, kupisha wito wa suala ya adhuhuri (adhana), ambayo ilimchukua dakika moja na nusu. Hili lilidhihirisha utii wa imani.

Category

Show more

Comments - 362